Uganda: Ufalme wa Tooro wakabiliwa na mzozo wa uongozi
RFI Afrique·11/09/2026 08:05
Manamfalme Patrick Mpuuga na Solomon Nyaika, Watoto wa Omusuuga Charles Karumasi, wamewatuhumu watu wenye ubinafsi kwa kumteka baba yao na kumtumia kutimiza malengo yao binafsi.