Algeria yasitisha uhusiano wake na nchi ya Falme za Kiarabu
RFI Afrique·11/09/2026 03:51
Algeria inasema, imeamua kusitisha ushirikiano wa kidiplomasia na nchi ya Falme za Kiarabu, kwa kile inachoeleza ni kwa sababu ya tabia za kichokozi na mshirika mbaya.